07 May 2012

Picha Yetu Jumatatu Hii: Praise Team ya Kanisa la EFATHA



Pichani ni Praise Team ya Kanisa la EFATHA lililoko maeneo ya Mwenge jijini Dar es salaam linaongozwa na mtume na nabii Josephat Mwingira.Praise team hii inasadikika kuwa ndiyo praise team yenye watu wengi kuliko praise Team za makanisa mengine nchini Tanzania, ina zaidi ya waimbaji arobaini  wanaosimama na kuimba madhabahuni.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...