25 August 2011

 Ndani ya Studio za Clouds FM Mikocheni, nikiwa na Haris Kapiga kwa ajili ya Official Interview!
Katika pozi la picha pamoja na wapenzi na wadau wa Glorious Celebration!
 Tukicheza Mduara kwa Yesu pamoja na wapendwa katika ibada ya shukrani Upanga Dar.
Tunaserebuka kwa Yesu pamoja na Amani Mwasote!
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...