28 May 2012

MZEE RWAKATARE NA MAMA RWAKATARE  KWENYE HARUSI YA MTOTO WAO WA MWISHO MUTA....
Pichani anaonekana Mchungaji Dr Getrude Rwakatare kulia akiwa na mumewe wakati wa harusi ya mtoto wao wa mwisho Bw Mutta Rwakatare alipokuwa akifunga ndoa siku ya juzi jumamosi tarehe 26.05.2012.Ndoa ilifungwa katika kanisa la Mikocheni na Harusi ilifanyika katika ukumbi wa Mlimani City.



Maharusi Mr and Mrs Mutta Rwakatare

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...