25 June 2012

 UFUNGUZI WA KANISA LA JESUS VILLAGE ULIOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI ILIYOPITA.CHANGANYIKENI DAR ES SALAAM.
Askofu Dkt. Moses Kulola akizindua rasmi kanisa hilo huku mchungaji Mgonja akishuhudia na maelezo yakitolewa na mchungaji Katunzi.

Mchungaji PrayGod Mgonja akisoma Risala kwa askofu mkuu Moses Kulola.

Mke wa askofu Kulola akitoa ahadi yake ya laki tano kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa kanisa hilo.

Brigedia jenerali mstaafu Hemed akiombewa baraka na askofu Kulola.



Kutoka kushoto mchungaji Marego, askofu Willy Matingisa na askofu Bruno Mwakibolwa wakifurahia


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...