30 April 2012



GREETINGS TO TB JOSHUA 
"MAN OF GOD"

Regards:
Blogger: Rulea Sanga
Gospel Singer: Emmanuel Mabisa
TB JOSHUA NI MTU WA MUNGU
Muache Mungu aitwe Mungu. Tunamshukuru TB Joshua kwa kutupa upendeleo wa kuonana naye uso kwa uso na kwa jinsi alivyojitolea kutulipia gharama zote za kutusafirisha kutoka Tanzania mpaka Nigeria SCOAN Synagogue na kutugharamia chakula na malazi kwa kipindi chote tulichokuwa Nigeria.
Mtumishi wa Mungu anafanya kazi ya Mungu kwa Moyo wake wote na akili zake zote. Ni mtumishi anayependa sana kusaidia watu wasiojiweza na wenye matattizo mbalimbali. Hapendik kuona mtu unalegea katika kazi ya Bwana.

Nitazidi kukuletea mafundisho tuliyoyapata kutoka kwa Nabii TB Joshua, ila kwa sasa ningependa kuwaonyesha tu yale aliyotufanyia Watanzania.

Ewe mdau wa blogu yangu naomba uangalia jinsi alivyotuhudumia.

SAFARI YA NDEGE
KUTOKA DAR - ETHIOPIA ADISS ABABA
Chakula katika ndege ya ETHIOPIA

SIKU YA MATEMBEZI
 Sehemu ambayo wanatengeneza mikate kwaajili ya wafanyakazi na wageni na wenyeji pia
 Sehemu ya fundi seremala
 Tukielekea sehemu ya wanyama anaowafuga TB Joshua
 Dada kutoka South Africa (kushoto) akiwa na dada kutoka Ethiopia
 Sehemu ya mifugo
 Rulea Sanga akipata maji yenye upako ambayo hugawia getini bure


 Emmanuel Mabisa (kushoto) akiwa na Frank kutoka Dar es Salaam pamoja na mtoto wa cordinator wetu Martha wa Masaki Dar




 Ujumbe wenye kukutia moyo na kukuweka karibu na Mungu
 Rulea Sanga akiwa ndani ya Synagogue floor ya juu
 Wageni wakiwasikiliza watengenezaji  wa mikate, jinsi gani wanatengeneza

 Baadhi ya mashine
 Sehemu ya kuhifandhia mikate
 Timu ya mpira wa miguu ya TB Joshua, inasemekana baadhi ya yao ni watu wanaotoka katika familia duni na wageni ni yatima, na wanalelewa na TB Joshua
 Walinzi wa SCOAN Synagogue
 Ngamia zinazofugwa na TB Joshua
 Gari za kubeba wageni za kanisani zikiwa zimepigwa stickers zenye upako

 Plate Number yenye jina la SCOAN
 Frank (kulia) Mtanzania aliyefika SCOAN
 Tukielekea Kanisani

SEHEMU YA KULALA
Blogger Rulea Sanga akitafakari baada ya kukosa net ili imsaidie kurushe matukio ya Nigeria
Mabisa akiwa amejipumzisha
 Mabisa akijiandaa kwenda ibadani siku ya jumapili
 Rulea Sanga wa pili kutoka kushoto, nikiwa tayari kwenda Ibadani siku ya Jumapili
 Makaranga akivishwa tai siku ya jumapili
SEHEMU YA NJE YA DINNING
 Mabisa akiwa katika pozi baada ya kupata chakula cha mchana



 Rulea Sanga nikiwa nje kidogo ya bweni, na haya ni magari ya Nabii TB Joshua

SEHEMU YA KULIA CHAKULA "DINNING"
Tukiwa Dinning Hall 
 









No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...