05 August 2012

Launching Ya Let It Rain Ya Sara Shilla Next Level


Siku Ya Leo Katika Ukumbi wa Banora Maeneo Ya Survey Karibu na eneo la Mlimani City Mwanamuziki Wa Injili Sarah Shilla amezindua Albam Yake ya Kwanza yenye jina la “Let It Rain”.
 Mwenge Praise Team wakihudumu Siku Ya Leo
 Rivers Of Life Kutoka DPC chini Ya Pastor Safari Wakihudumu Siku Ya leo
Eunice akiwa na Kundi Lake
Katika Uzinduzi Huo Uliopambwa na vikundi mbalimbali vya uimbaji ulifana kwa aina yake katika Ukumbi huo wa Kisasa kabisa Jioni ya leo. Kati Ya Vikundi vilivyo hudumu siku ya leo ni Mwenge TAG Praise Team ambao waliongoza Kusifu na Kuabudu, wengine ni Rivers Of Life Wa DPC, Rivers Of Joy Wa VCC, Eunice and Miriam Lukindo Wa Mauki na wengine wengi
 Miriam Lukindo wa Mauki ndani ya Banora
Rivers Of Joy Kutoka VCC wakiwa Ndani ya Kumsindikiza Sarah Shilla Kwenye Launching ya albam. 

Mshehereshaji Mashuhuri jijini Dar, Mc King Chavalla ndiye aliyekuwa akiongoza shughuli nzima ya Jioni ya leo. Mbali na Kuongoza event hiyo pia Mc huyo alifanya Comedy kama ilivyo kawaida ya Mc huyo the King Of Stand Up Comedy.
 Mc wa Event King Chavala akiwa Kikazi Zaidi Siku Ya Leo
Pastor Safari Akifungua event ya Siku Ya leo.
Mwanamuziki wa Injili alipanda Jukwaani Majira ya Saa 12 jioni kwa style ya aina yake na kuhudumu nyimbo 5 mfululizo Jukwaani. Kisha Rev Dr. Huruma Nkone Alibariki Albam hiyo ya "Let It Rain In His Presence".
Rev. Dr. Huruma Nkone akiwa ndani ya Banora Siku Ya leo.

Blog Inatoa Big Up Kwa Sara Shila Kwa Siku ya leo Kufikia hatua hiyo.
 Watu Peopleeeeee Hand Uuuuuuuuuuup
 Papaa Ze Blogger Kama Kawa Akiwakilisha Siku Ya leo
 Without Caption Jana Na Leo....../....
 Sara Shilla Akihudumu Siku Ya Leo
 Tehe tehe Hawa Ndo Walibeba CD, Sijui Waliimba Baadae???
 Rev. Dr. Huruma Nkone akizindua Albam hiyo Siku Ya Leo Kwenye Ukumbi Wa Banora.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...