04 April 2012

Wednesday, April 4, 2012

Joyous Celebration Kuachilia JC 16 Siku Ya Kesho.

Matayarisho kwa ajili ya Launching Ya Joyous Celebration 16 yamekamilika na Siku Ya Kesho ndani ya Ukumbi wa  Pretoria State Theatre Jioni Moto utawashwa kwa ajili ya launching hiyo.

Mashabiki wa Joyous kutoka Nchi mbalimbali nje na ndani ya Africa wamekwisha kuwasili na Watanzania 


wanne ambao blog imenasa taarifa zao wanaenda kushuhudia Live Launching hii ya 16 ya Joyous 


Celebration katika Mji wa Pretoria.

Watanzania hao Walioondoa Siku ya Jana Kuelekea Pretoria wamesema Walidhamilia mwaka huu lazima 


wakaone Uzinduzi huo na wamesema watakapo rejea nchini watakuja na mzigo mzima Mzima wa Joyous 16.

Blog Inawatakia Matayarisho mema. 

Siyabonga.
       Viongozi wa Joyous Celebration wakiwa kwenye eneo la Tukio kwa ajili ya Setting ya Sound 
Baadhi ya Matukio Katika Joyous 16.


                                             Jabu Akiongoza Kama Kawaida.
 Huu Wimbo Umebamba sana hasa pale "Knock Knock"
 Waimbaji wa Joyous Wakiwa Kazini
 Hapa Si Mchezo
Hii ni aina nyingine Ya Kwaito Inapatikana katika JC 16

You might also like:

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...