25 March 2012

NDANI YA VOICE OF AMERIKA MBASHAZ

Mbashaz Watembelea Ofisi Za Balozi na VOA

Siku ya Ijumaa (Kwa Saa za USA) huku Tanzania Ikiwa Leo Jumamosi, Wanamuziki Wa Injili Walio katika Ziara Nchini Marekani Flora Mbasha na Mumewe Emmanuel Mbasha Wametembea Ofisi Za Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani na Kuonana na Balozi na kufanya mazungumzo Ofisini Kwake.

Pia wanamuziki hao wametembelea katika Ofisi za Voice Of America a.k.a VOA na kufanya mahojiano katika kipindi cha Redio na TV katika Kituo hicho.
  Balozi Mwanaidi Maajar akiwa na Flora Mbasha Ofisini kwake siku ya Leo
                                              Marekani Kuzuri hii ni Suti ya 21 naona Emma anabadili tu
 Toto la Kizungu likishangaa Mwili Jumba na Pamba za Emmanuel Mbasha
 Msije Mkasema hatujafika VOA ushahidi hapo Juu
Flora na Emmanuel Mbasha ndani ya VOAsiku ya Leo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...