27 April 2012

hatuyajui yaliyombele yetu.
 Mabisa akiingia ndani ya SCOAN Synagogue kwa mara ya kwanza
 Rulea nikiingia ndani ya Synagogue kwa mara ya kwanza
 Ndani ya Synamgogue karibu na madhabau

Hii ninayoonyesha ni A/C ya kanisa ambayo iko karibu sana na madhabau
Nikiwa jukabisa ambakp watu wengine hukaa katika ibada
Hawa waliokaa ni wengine kutoka nchi mbalimbali, Rulea Sanga nikiwa nipiga koti jeusi upande wa kushoto kati ya hawa waliosimama

Nikiwa na Mtanzania mwenzangu kutoka Moshi-Tanzania

Hii ilikuwa ni siku ya Ijumaa wakati wa mkesha
Tukimsifu Mungu 
Siku ya matembezi, tukionyeshwa sehemu mbalimbali

NITAZIDI KUKUELEZA KUHUSU SCOAN SYNAGOGUE...

NINAKUPENNDA

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...