26 March 2012

GLORIOUS CELEBRATION WAJICHIMBIA KAMBINI TENA

Baada ya kufanya kazi ya Bwana maeneo mabalimbali, Glorious Celebration  sasa wameamua kujichimbia kambini kumtafuta Mungu na kujiweka fit katika kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji. 

Kiongozi wa GC, Emmanuel Mabisa alisema, sasa wameamua kujificha katika kijiji cha Chanika ambacho kipo nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kwa lengo la kumtafuta Mungu. 

Bloger na meneja masoko wa kikundi hicho Rulea Sanga, naye alisema, GC wameamua kufanya hivyo ili Mungu aweze kuwatumia na sio kutumia akili zao katika kufanya kazi ya Bwana. Mungu mara nyingi hupenda sana mtu anayejishusha na kufanya kazi yake kama Yeye apendavyo. Ukifanya kazi ya Mungu kwa kujitafutia umaarufu na kutaka kujulikana kwa wanadamu, Mungu hapendezewi kabisa.

Ngoja tuone maisha wanayopitia GC wakiwa katika kambi yao iliyoko Chanika
 Daniel Kibambe akipambana na dafu, ili apooze koo
Vijana wakipata mihogo baada ya mazoezi yao. Kutoka kulia ni Emmanuel Malisa, Jesica Honore, Gospel, david na Emmanuel  Matelu

 Emmanuel Malisa akipambana na bonge la muhogo..yote maisha
 Kutoka kushoto ni Angel Benard Lyamba akisoma Neno,  David mna Paul wakitafakari Neno
 Ombeni Godwin katikati akiwa na wenzake
 Duuh....Gospel akiwa amechoka...
 Daniel Kibambe akiwa anafikiria jinsi gani ya kumfurahisha kwa njia ya 
 Kiongozi wa Muziki wa GC, Emmanuel Mabisa akiwa hoi
 Usafi muhimu, Chaka
 Kazi iansonga, Mungu atafanya tu...



Kama binadamu unaweza kuchoka, Nice Marando akionekana kuchoka 
 Angel Benard Lyamba....

mDada wa Yesu, Jessica Honore akiwasiliana na jamaa zake, huku akiwa ameshikilia kipande cha bagia 
Kama binadamu unaweza kuwa na mawazo fulani, Emmanuel Malisa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...