27 April 2013


The Voice Watimiza Miaka 19 Ya Kuundwa Kwao

Kundi la The Voice siku ya Jana limetimiza miaka 19 na kurekodi Live DVD katika Kanisa CCT pale chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam.

Katika anniversary hiyo iliyofana siku ya jana The Voice walifana sana na kukonga nyoyo za wahudhuriaji ambao walikuwa wamefurika ndani na nje ya ukumbi.

Bomby Johnson akiwa kwenye performance 
Baadhi Ya wadau ndani ya Ukumbi
Music Director SamYona
Ma Mc wa Event Harris Kapiga na Papaa Ze blogger
The Voice
 Kama Kawa the Voice wako pouwa
                                           The Voice
                                    Kikazi zaidi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...