14 March 2013

Kundi la Joyous Celebration Kuzindua JC 17 Wakati wa Pasaka

Wakati wa Majira ya Pasaka kama ilivyo Ada Ya Joyous Celebration Ya South Africa Itazindua albam yake ya 17 Katika Ukumbi wa Big Top Arena Carnival City. Uzinduzi huo Unaosubiriwa kwa hamu na TOTS (Kundi la Mashabiki Wa JC) pamoja na Watu mbalimbali kupitia page ya Facebook imeelezwa kuwa matayarisho yamekamilika.

Baada ya Kufanya Vizuri kwenye albam ya 16 kila mtu amekuwa akitaka kufahamu safari hii JC wametoka Vipi??Uzinduzi huo unasubiriwa kwa hamu sababu katika shooting iliyofanyika hapo awali ilikuwa ni ya aina yake kulinganishwa na JC 16.

 Mthunzi Namba anatariwa Kuwakilisha Vema kwenye Uzinduzi Huo kama wakati wa Shooting anavyoonekana.
 Baadhi Ya Waimbaji Wa JC wakiwa katika Pozi la JC 17
 Dogo aliyechomoza katika JC 15 Ayanda Shanga ameendelea kutamba katika JC 17
Mukhululi Bhehe Mzimbabwe anayefanya Vizuri katika Jc, alichomoza JC 15 bado ameendelea Kukaba.

 Kwa mbaaali JC 17 Stage inavyoonekana
 Mojawapo ya Nyimbo za JC 17
 Mapacha watatu Jabu, Lindelani and Mthunzi wakienda sawa kwenye JC 17 hawa ndio waasisi wa JC
Mamaa Mavocal..Sijasanga ndani ya JC 17

Kitu Cha Easter 
Jabu ambaye ameonekana katika JC 17 amejitoa katika kundi hilo na hawa wanaonekana ni baadhi ya waliojitokeza Kumrithi kazi hiyo.
 Nyomi Zaidi Ya Hili Linasubiriwa
 Jabu ambaye JC 17 ndo ilikuwa ya Mwisho kwake
Nobathembu ndani ya JC 17
 Kenny Ndani Ya JC 17
Kama Kawaida ya JC

kwa Habari na Sam sasali the bloger no.1.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...