21 February 2013

"Filled" Ya Ntokozo Mbambo Yafanya Vizuri Katika Soko


Kupitia Facebook Page Ya Mwanamuziki Wa Injili Kutoka South Africa..Ntokozo Mbambo ambaye amejitoa katika Kundi la Joyous Celebration Mwaka Jana na Kutengeneza Albam yake ya Kwanza akiwa Nje ya Kundi hilo amefunguka na kusema albam hiyo ya Filled Imefanya vizuri katika mauzo yake.

Kupitia Page hiyo imeeleza kuwa mpaka sasa Copy 25,000 zimeshaondoka sokoni kwa kununuliwa na watu mbalimbali. Kwa hesabu nyepesi ya Copy ni shilingi 5000 ya Kitanzania, basi Mwanamukizi huyu ametengeneza Jumla ya Shilingi 125,000,000 kupitia uuzaji wa Copy hizo. Hii ni changamoto kwa Wanamuziki na Serikali yetu ya Tanzania katika Kulinda na Kusambaza kazi za Wasanii.

Thokozo Mbambo ni Mke wa Aliyekuwa Music Director wa Joyous Celebration Mr. Nqobeko aliyejitoa kwenye kundi hilo wiki chache baada ya Mke wake kujitoa.

Haya ni Maneno aliyoyasema masaa machache yaliyopita.'
"God has done it again! Just six months after releasing "Filled", the album has gone GOLD! I just got confirmation from Universal that we have sold over 25 000 copies of the album! Thank you all so much for your love and support - "To God be the glory!"
...for those of you who are still planning on getting it. Remember you can get the CD or DVD at your local music store, or follow this link and download it here, or alternatively on iTunes"
.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...