19 February 2014

GLORIOUS YAANZA USIKU WA MATUMAINI KWA KISHINDO

Usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa 92 Hotel ama Shalom Tabernacle church kulifanyika mkesha wa kwanza wa aina yake ufahamikao kama Motivational Friday Night chini ya kundi matata la injili nchini la Glorious Worship Team, ambao wamerejea tena kuwakusanya wapendwa na marafiki zao kila Ijumaa kuanzia jana na ijumaa zote zinazokuja kwahiyo mdau usikose kila siku za ijumaa ndani ya Hotel 92 karibu na Sansiro Shekilango jijini Dar es salaam.
Tazama picha japo kwa uchahe, GK itakupasha kilichojiri kwa upana ikiwemo video za tukio hilo


Barikyiz na Paul Clement


Blogger Rulea Sanga akizungumza jambo pembeni Paul Clement akimsikiliza


Hakika ilipendeza

MD wa GWT Immanuel Mabisa akiliungurumisha bass

GWT wadada wakienda kizimbabwe zaidi.



Ndani ya uwepo wake ni rahaa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...