WASHIRIKI WA AFRICA GOSPEL MUSIC AWARD
Baadhi ya waimbaji waliongizwa katika kuwania tuzo tuzo malimbali za Africa gospel music awards zinazotarajiwa kutolewa tarehe 7 mwezi july mwaka huu huko jijini London nchini Uingereza.

Christina Shusho - Tanzania

Diana Hamilton - uk

Dena mwana DRC Kongo

Kefee - Nigeria

Gifty-Osei - Ghana

Lam Lungwar - South Sudan

Dawit Getachew - Ethiopia
No comments:
Post a Comment