Showing posts with label P. Show all posts
Showing posts with label P. Show all posts

10 February 2013


Sunday, February 10, 2013

NABII T.B.JOSHUA ATABIRI USHINDI TIMU YA NIGERIA SUPER EAGLE NA AFCON 2013....NA HII YATOKEA KWELI!!!!!



Mtumishi wa Mungu kama ilivyo kawaida yake ya kutabili jambo na linatokea. Amekuwa akitabili matukio makubwa sana dunia kama kifo cha Michael Jackson na mengine mengi ambayo ukitaka kujua ingia katika blog zake na YOUTUBE.

Safari hii, Mungu alimuonyesha ushindi katika ya timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagle na timu ya Afrika kusini ya Burkina Faso ambazo zilikuwa zikipambana katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika huko Afrika kusini.

Rumafrica imekuletea dondoo kwa lugha ya Kingereza kamazilivyotolewa katika mitandao mbalimbali
 
Nabii T.B. Joshua

PROPHECY: “How Nigeria Will Win AFCON2013 Final” – TB Joshua

The General Overseer of The Synagogue Church Of All Nations, Prophet Temitope Balogun Joshua, says Nigeria’s Super Eagles would defeat Burkina Faso in Sunday’s final of the Africa Cup of Nations in South Africa.

T.B Joshua, who warned Eagles’ coach, Stephen Keshi to avoid conceding a late minute goal in their AFCON Group C opener against the Burkinabe, told P.M.NEWS that Nigeria’s case in the Nations Cup final this year is like the biblical Jacob who wrestled with God, saying that “on Sunday we’ll tell God unless He gives us our heart’s desire we’ll not let Him go”.

“The cloud is darker over Nigeria’s Super Eagles, but with God we’ll scale through. If it were not to be the final, anything could have happened. The first match we played with Burkina Faso, it was just by the grace ofGod that it ended in a draw.
Click for Full Image Size
“On Sunday, our opponents will play defensively because they will be looking outfor penalty shootout at the end of the game. They will also play through three of their strikers upfront; one of them very tall and huge player and two others. “What I’m seeing I don’t want to say it because it would be too frightening, but I want to assure that we’ll scale through the challenge on Sunday.”

The prophet who established a football club,My People FC to groom young players, however, warned the Eagles not to allow Burkina Faso to score first in the final, sayingthat “if this happened the Burkinabe would fall back to defend the goal, which will be very dangerous for our team. I still repeat that no matter the situation, we’ll scale through.

“The Burkina Faso that we played in the group stage will not be the same team we’ll play on Sunday, even though some of their players are out of the squad due to injuries. They are still a team. But I hope for celebration.”

Joshua said as the giant of Africa, Nigeria last won the Nations Cup 13 years ago, which was too long ago for a great football nation like Nigeria.

“I think God should give us this cup to make the youths of this country happy. Winning this cup at this time of religious intolerance and violence will calm down the youths. I want to appeal to all Nigerians to pray for Eagles’ victory. I would have told you the scoreline but I would rather delay it till Sunday morning in order not psychologically distract the players and their coaches and not to demoralise the losing team.”

Prophet Joshua concluded that he would notwant Keshi and his team to come to his church to celebrate their victory after the match because he is not the only one praying for the Eagles to win.

“My voice may be the one louder among the men of God in the country but this doesn’t mean that the team should come to my church to celebrate.

I would rather prefer that they celebrate their victory with all Nigerians,” he said.

12 June 2012

Askofu atishiwa kuuawa


Askofu Edson Mwombeki wa kanisa la Tanzania Evangalism Field (TEF) la mjini Shinyanga ametishiwa kuuwawa kutokana na kuelezwa kuwa anashirikina na vikongwe anao walea  wapatao 23 kwa  lengo la kufanya nao ushirikina kwa kuwatoa maeneo ya vijijini na kuwaleta mjini kuwaweka kambi na kuwapatia chakula,malazi na mavazi.

Askofu Edson Mwombeki akiwa na mmoja wa mabibi anaowatunza

Watu hao  watano alionaswa majina yao kwa kumfuata eneo la kanisani kwake na kumtishia maisha aliwaeleza waandishi wa habari ofisini kwake kuwa mara kwa mara amekuwa akitishiwa maisha na kuyapuuzia sasa imefikia hatua ya watu hao kufika mwisho

Alisema alitishiwa kuuwawa kutokana na kutuhumiwa kuwa anawalea vikongwe hao ambao ni wachawi na kushirikiana nao kwani wanamuundia njama ya kumuua pamoja na vikongwe hao ambao anawalea kwenye kambi iliyoko kolandoto manispaa ya mjini hapa .

“Mmoja wa wahusika hao ambaye anajulikana  kwa jina la Saidi Seleman alifika hapa  kanisani na kuanza kutoa matusi kisha kunza ugomvi na mtoto Mrokozi (7) baada ya kumpiga alianza kulia ndipo mimi nilipomuuliza kijana huyo na kuanza kutoa lugha chafu za matusi na kudai kuwa nitakuua na hao  vikongwe vyako kwani hatufahamu kuwa unashirikiana nao kwa mambo ya kishirikina”alisema

Kutokana na hali hiyo aliamua kutoa taarifa katika jeshi la polisi kwa kitendo hicho na kuwaeleza maneno yaliyosemwa hata kipindi cha nyuma vijana wengine wanne wakiwa na huyo saidi walikwisha sema maneno hayo hivyo lisemwalo lipo naona kwanza nijisalimishe kwenye jeshi  halafu apambane nao kikamilifu.

Washirika wa  kanisa la Tanzania Evangalism Field (TEF) la mjini Shinyanga wakiwa ibadani
Alisema amekuwa akijitolea pesa kwa kuwasaidia jamii ambayo inamaisha magumu kama walemavu,Albino na vikongwe wakiwemo watoto yatima na wenye kuishi na virus vya ukimwi mkoani hapa bali yeye hana lengo baya kama jamii inavyomfikilia hao anawafananisha na mashetani walio muasi  mungu kwa mawazo mabaya kwake.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa  Evarist Mangalla alithibitisha kutokea kwa vitendo hivyo vya vitisho na suala hilo analifuatilia kwa ukaribu ili kufahamu watu hao wanalengo gani kwa askofu huyo ikiwa pia tayari kijana mmoja amekwisha

23 February 2012

MUNGU ANAINULIWA HATA KWA MICHEZO

Wakristo nchini China wafurahia Mafanikio ya Jeremy Lin



Jeremy Lin kushoto akishoot

Jeremy Lin's ni Raia wa China ambaye kwa sasa yuko nchini Marekani akicheza mpira wa kikapu katika ligi ngumu na maarufu ya mchezo huo iitwayo NBA. Jeremy ameokoka na ame-make headlines kwenye vyombo vingi vya habari nchini Marekani hasa kwa uwezo wake wapo uwanjani, kwa sasa Jeremy anaichezea timu ya New York Knicks.

Wachina wengi wanafurahia mafanikio ya Jeremy kwa kuwa anaitangaza nchi yao,lakini kwa upande wa pili Wakristo walioko nchini China wao wanafurahi mara mbili kwanza wanaona kufanya vizuri kwa Jeremy ni kumtangaza Kristo nchini humo kwa kuwa ukristo umekuwa ukipigwa vita kwa hali ya juu, na pili anaizangaza nchi hiyo.


Jeremy Lin's kipindi akiichezea timu yake ya Chuo

Jeremy kabla hajaingia NBA alikuwa akisoma katika chuo kikuu cha Havard na kuchezea timu ya kikapu ya chuo hicho iitwayo Harvard's basketball team kisha akajiunga na Houston Rockets.Akiwa chuoni hapo alikuwa akiongoza Bible study katika group la watu 80.Hadi kufikia wiki hii Kwa takribani michezo sita mfululizo Jeremy ameweza kuifungia timu yake wastani wa poits 20 kwa kila mchezo kitendo ambacho kinadhihirisha ufanisi wa Mtumishi huyu.

Ndani ya jamii ya wachina wao, hawaamini katika dini, na wengi wa wakristo hususani waliookoka wanakazi kubwa ya kuwaelimisha wenzao ambao dhana ya upagani Imetawala katika fahamu za wachina wengi.kitendo cha Jeremy kukiri wazi kuwa YESU ndiye anayemuwezesha kufikia hapo alipo kwa kiasi kikubwa imeshitua fahamu za wachina juu ya ukristo.

Wiki iliyopita hiki kitu kilimkuta Masihi wa Bwana Jeremy
Alipokuwa akitoa ushuhuda wa maisha yake katika kanisa la River of Life Christian Church lililoko Calif Santa Clara, Jeremy alisema "Everything in my life are blessings from God, I look back and I realize these are His fingerprints all over my story," Lin said, adding that "our true prize ... was something in heaven, not on earth.""I realize I had to learn ... to stop chasing the perishable prizes of this earth ... and give my best effort unto God and trust Him with the results." 

Angalia Mtupo wa mbali(long Shoot) kutoka kwa Jeremy katika moja ya Mechi za timu yake ya New York Knicks

You might
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...