Pages

06 February 2012

LINAH SANGA NI MSANII WA BONGO FLAVA, LAKINI CHANZO CHA MAFANIKIO YAKE NI KUTOKEA KANISANI, NA LEO ANATOA SHUKRANI ZA DHATI KWA WAZAZI WAKE
KAMA MKRISTO WA LEO- UNA MAONI GANI JUU YA DADA HUYU MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA KUTOKANA NA KARAMA ALIYOPEWA NA MWENYEZI MUNGU. TUMA MAONI YAKO KWA EMAIL HII rumatz2011@yahoo.com NA SISI TUTAYARUSHA KATIKA BLOGU HII
Msanii wa kizazi kipya ajulikanaye kwa jina la Linnah Sanga a.k.a Linnaha akiwa na wazazi wake Bw&Bibi Sanga pamoja na rafiki yake ajuliakanaye kwa jina la Lulu (wa kwanza kulia aliyemkumbatia mama Linnah) nyumbani kwao jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment